Serikali yashauri njia bora ya kuzalisha sukari

Waziri wa Kilimo Profesa Adolf Mkenda

Waziri wa Kilimo Profesa Adolf Mkenda, amesema kwamba Tanzania bado inauhitaji wa kuagiza sukari kutoka nje ya nchi kiasi cha Tani 40 kwa kuwa bado viwanda vya ndani havijitoshelezi katika uzalishaji wake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS