Burnley yavunja rekodi ya Liverpool Anfield
Mabingwa watetezi wa EPL, klabu ya Liverpool imefungwa bao 1-0 dhidi ya Burnley usiku wa kuamkia leo na Burnley wamevunja rekodi ya Liverpool kucheza michezo 68 ya EPL bila kufungwa kwenye uwanja wake wa nyumbani, uwanja wa Anfield.