Burnley yavunja rekodi ya Liverpool Anfield

Mshambuliaji wa Burnley, Ashley Barnes akifunga bao na kuwapa ushindi Burnley wa 1-0 dhidi ya Liverpool usiku wa jana.

Mabingwa watetezi wa EPL, klabu ya Liverpool imefungwa bao 1-0 dhidi ya Burnley usiku wa kuamkia leo na Burnley wamevunja rekodi ya Liverpool kucheza michezo 68 ya EPL bila kufungwa kwenye uwanja wake wa nyumbani, uwanja wa Anfield.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS