Majaliwa atoa maagizo haya kwa Wizara ya Kilimo

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Kilimo ifanye mapitio ya kodi na tozo zote zilizopo katika zao la mkonge kwa lengo la kubaini ni zipi zenye manufaa kwa wadau na Taifa na kuainisha zisizokuwa na tija ili zifanyiwe mchakato wa kuondolewa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS