Ni 'War In Duola' Cameroon, Tanzania Vs Guinea

Kikosi cha timu ya Taifa “Taifa Stars” wakiwa kwenye mazoezi Uwanja wa Bonamoussadi,Douala kuelekea mchezo wa mwisho Kundi D mashindano ya CHAN vs Guinea leo.

Timu ya taifa ya Tanzania taifa stars itajua hatma yake ya kusonga mbele katika hatua ya robo fainali ya michuano ya CHAN leo saa 4:00 Usiku, ambapo itashuka dimbani dhidi ya timu ya taifa ya Guinea kwenye mchezo wa mwisho wa kundi D,Taifa stars inahitahi ushindi ilikusonga mbele.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS