Ni 'War In Duola' Cameroon, Tanzania Vs Guinea
Timu ya taifa ya Tanzania taifa stars itajua hatma yake ya kusonga mbele katika hatua ya robo fainali ya michuano ya CHAN leo saa 4:00 Usiku, ambapo itashuka dimbani dhidi ya timu ya taifa ya Guinea kwenye mchezo wa mwisho wa kundi D,Taifa stars inahitahi ushindi ilikusonga mbele.