Kipigo cha stars, makocha wa vilabu walaumiwe

Taifa stars imepoteza mchezo wake wa kwanza wa kundi D kwa mabao 2-0 dhidi ya Zambia

Kufuatia kipigo cha mabao 2-0 walichokipa timu ya taifa ya Tanzania Taifa stars kwenye michuano ya CHAN dhidi ya timu ya taifa ya Zambia, kocha mzoefu hapa nchini Meja mstaafu, Abdul Mingange ametupa lawama kwa makocha wa vilabu kushindwa kuwaanda wachezaji washindani

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS