Hesabu za karata ya mwisho ya Taifa Stars

Wenyeji Cameroon wataminyana na timu ya taifa ya DR Congo kwenye mchezo wa robo fainali ya michuano ya CHAN

Wenyeji wa michuano ya CHAN timu ya taifa a Cameroon itaminyana na timu ya taifa ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo kwenye mchezo wa robo fainali ya fainali hizo, wakati Mali wataminyana na Congo kwenye mchezo mwingine wa robo fainali. Michezo hii itachezwa Januari 30.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS