Hesabu za karata ya mwisho ya Taifa Stars
Wenyeji wa michuano ya CHAN timu ya taifa a Cameroon itaminyana na timu ya taifa ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo kwenye mchezo wa robo fainali ya fainali hizo, wakati Mali wataminyana na Congo kwenye mchezo mwingine wa robo fainali. Michezo hii itachezwa Januari 30.