Meridian Bet yaendelea kutoa msaada kwa jamii

Meneja Ustawi wa Kampuni ya Meridian Bet, Amani Maeda, akikabidhi msaada kwa mmoja wa walemavu jijini Dar es Salaam

Kampuni inayojihusisha na michezo ya kubahatisha ya Meridian Bet, imetoa msaada wa vitu mbalimbali kwa walemavu wanaosali katika kanisa la Waadiventista wasabato, Manzese Jijini Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS