Rais wa Ethiopia kuwasili nchini kesho

Rais wa Ethiopia Bi. Sahle-Work Zewde.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba Kabudi amesema kuwa kesho Januari, 25 Tanzania inatarajia kupokea ugeni wa Rais wa Ethiopia Bi. Sahle-Work Zewde kwa ziara ya kikazi ya siku moja Wilayani Chato mkoani Geita.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS