Mwili wa Martha kuagwa leo Bungeni Dodoma Martha Umbulla, wakati wa uhai wake Mwili wa aliyekuwa mbunge wa viti maalum wa Manyara kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Martha Umbulla, utaagwa leo Januari 23, 2021, katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma. Read more about Mwili wa Martha kuagwa leo Bungeni Dodoma