Mwili wa Martha kuagwa leo Bungeni Dodoma

Martha Umbulla, wakati wa uhai wake

Mwili wa aliyekuwa mbunge wa viti maalum wa Manyara kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Martha Umbulla, utaagwa leo Januari 23, 2021, katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS