Cristiano Ronaldo sasa ni namba moja duniani

Cristiano Ronaldo amekuwa mfungaji bora wa muda wote kwenye historia ya mpira wa miguu, amefunga mabao 760

Cristiano Ronaldo ameweka rekodi ya kuwa kinara wa ufungaji mabao kwenye historia ya mpira wa miguu duniani, amefikisha magoli 760, baada ya kufunga kwenye mchezo wa fainali ya Italia Super Cup dhidi ya Napoli, mchezo ambao Juventus wameshinda kwa mabao 2-1.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS