Fahamu kuhusu kocha mpya wa Simba

CEO wa Klabu ya Simba, Barbra Gonzalez akiwa uwanjani katika moja ya mchezo wa wekundu hao wa msimbazi.

Klabu ya soka ya Simba imethibitisha kwamba inatarajia kumtangaza kocha mkuu wa kikosi hicho kesho Januari 23 mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS