Wawili mbaroni kwa wizi wa dawa akiwemo muuguzi  

Kamanda wa Jeshi la polisi Mkoa wa Shinyanga Debora Magiligimba

Muuguzi wa zahanati ya Nyamalogo Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga William Desdez na Fedson Matekele wanashikiliwa na Jeshi la polisi mkoa wa Shinyanga kwa tuhuma ya wizi wa madawa katika zahanati ya Nyamalogo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS