Uchaguzi Uganda, mvutano wa kizazi cha jana na leo Kulia Mgombea wa urais wa Uganda Yoweri Mseveni (NRM), na kushoto ni mgombea wa urais wa uganda Robert Kyagulanyi Ssentamu Raia wa Uganda leo wanashiriki katika zoezi la kihistoria la upigaji kura ili kuchagua rais na wabunge wa kuliongoza taifa hilo. Read more about Uchaguzi Uganda, mvutano wa kizazi cha jana na leo