Uchaguzi Uganda, mvutano wa kizazi cha jana na leo

Kulia Mgombea wa urais wa Uganda Yoweri Mseveni (NRM), na kushoto ni mgombea wa urais wa uganda Robert Kyagulanyi Ssentamu

Raia wa Uganda leo wanashiriki katika zoezi la  kihistoria la upigaji kura ili kuchagua rais na wabunge wa kuliongoza taifa hilo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS