Maamuzi ya Maalim ni maamuzi ya kishujaa- Magufuli

Kulia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, kushoto ni Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Hamad wakipeana mikono na katika ni Rais wa Zanzibar Dkt.Hussein Mwinyi.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli amempongeza Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Hamad kwa maaamuzi yake aliyoyafanya yakuungana na serikali ya umoja wa kitaifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS