Bocco, Ame warejea, Taifa stars kuvuka makundi

Taifa stars itacheza mchezo wake wa pili wa kundi D kwenye michuano ya CHAN, dhidi ya Namibia kesho Januari 23, 2021

Licha ya timu ya taifa ya Tanzania taifa stars kuanza vibaya kwenye michuano ya CHAN, lakini mkuu wa idara ya habari na mawasiliano wa TFF Cliford Ndimbo amesema malengo ya kikosi hicho ni kuhakikisha inavuka hatua ya makundi na kutinga hatua inayofata.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS