Ni vita ya kisasi au heshima leo Yanga Vs Simba
Fainali ya michuano ya Mapinduzi mwaka 2021 inapigwa leo usiku, uwanja wa Amaan Visiwani Zanzibar, ambapo miamba ya soka la Tanzania Simba na Yanga, itakuwa ikiumana kwenye mchezo huo wa fainali utakaopigwa Saa 2:15 Usiku.