Ni vita ya kisasi au heshima leo Yanga Vs Simba

Msimu huu kwenye mchezo wa ligi kuu Simba na Yanga zilitoshana nguvu kwa sare ya bao 1-1

Fainali ya michuano ya Mapinduzi mwaka 2021 inapigwa leo usiku, uwanja wa Amaan Visiwani Zanzibar, ambapo miamba ya soka la Tanzania Simba na Yanga, itakuwa ikiumana kwenye mchezo huo wa fainali utakaopigwa Saa 2:15 Usiku.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS