Magufuli aelezea alivyomfahamu mbunge aliyefariki

Kushoto ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli na kulia ni Martha Umbula wakati wa uhai wake

Rais Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa familia, ndugu na Spika wa Bunge, Job Ndugai, kufuatia kifo cha aliyekuwa mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Manyara kupitia CCM Martha Umbula, na kusema kuwa marehemu alikuwa mpole, mchapakazi na mpenda maendeleo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS