Baada ya miaka 8 Man United yaonja mafanikio

Paul Pogba akishangilia goli na wenzake

Klabu ya soka ya Manchester United ya nchini England, imeibuka na ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Burnley kwenye mchezo wa ligi kuu nchini humo uliopigwa usiku wa kuamkia leo Januari 13, 2021.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS