TAKUKURU yabaini wizi mpya wa dawa MOI

Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU,  Brigedia Jenerali John Mbungo.

Watumishi 23 wa Kitengo cha Famasia cha Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI), wanachunguzwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), kwa tuhuma za kuandika taarifa za uongo katika mfumo wa utunzaji taarifa za kumbukumbu za utoaji dawa na vifaa tiba,

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS