“Usipodai risiti faini milioni 1.5”- TRA
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma, imewakamata watu 34 wakiwemo wafanyabiashara,wanunuzi wa bidhaa na watoa huduma mbalimbali kwa kosa la kutozingatia matumizi sahihi ya mashine za Kielektroniki(Efds) ambao wametozwa shilingi milioni 58,500,000 kama adhabu,