Manchester United kushika usukani EPL leo?

Kocha wa Manchester United, Ole Gunnar Solskjear.

Klabu ya Manchester United ya England itajitupa dimbani saa 5:15 usiku wa leo tarehe 12 Januari 2021 kukipiga na wabishi klabu ya Burnley inayonolewa na kocha Sean Dyche kwenye mchezo ambao mashetani wekundu hao wanawania alama moja au zaidi ili kushika usukani kwenye msimamo wa EPL.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS