Undani wa mkataba mpya wa Chama na Simba SC

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Simba C Mohammed Dewji (kushoto), Clatous Chama (katikati) na Barbara Gonzalez (kulia).

Klabu ya Simba SC imethibitisha nyota wake Clatous Chama kuwa amesaini mkataba mpya wa kuendelea kukipiga msimbazi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS