Jimmy Kindoki awatangazia Simba 'War In Zanzibar'
Ni mbwembwe za mwanachama na shabiki wa Klabu ya Yanga Jimmy Kindoki ambaye amewatangazia vita watani wake wa jadi Klabu ya Simba kwamba kutakuwa na vita nyingine huko kwenye kombe la Mapinduzi visiwani Zanzibar.