Waziri Mkuu aongoza mazishi ya mtoto wa Nyerere

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwe udongo katika kaburi la Rosemary Nyerere ambaye ni Mtoto wa Marehemu Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambara Nyerere katika mazishi yaliyofanyika kwenye Makaburi ya Kanisa Katoliki yaliyopo katika Kituo cha Hija Pugu Jijini Dar es Salaam, Januari 6, 2021.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameshiriki mazishi ya mtoto wa Marehemu Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, Rosemary Nyerere aliyefariki dunia Januari Mosi, 2021.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS