Polisi wasimulia Tembo alivyoteketeza familia ya 3

Kamanda wa Polisi mkoa wa Kagera, Revocatus Malimi.

Watu watatu wa familia moja, mume, mke na mtoto wao, wamepoteza maisha na mwingine mmoja kujeruhiwa, Januari 3, 2021, majira ya saa 11:00 jioni, baada ya kuvamiwa na kushambuliwa na Tembo katika Kijiji cha Nshabaiguru, Kata ya Kihanga wilayani Karagwe, mkoa wa Kagera.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS