"Mwana Fa na Babu tale wasitutie aibu" - Dullah

Kulia ni Mwana Fa Mbunge wa Muheza Tanga, kushoto ni Babu Tale Mbunge wa Kusini Mashariki Morogoro

Rais wa BongoFleva Dullah Planet amewaomba Wabunge ambao wametoka kwenye kiwanda cha muziki wa BongoFleva mpaka mjengoni Dodoma, Mwana Fa na Babu Tale kwamba wasitie aibu kwenye shughuli zao za kuwatetea wananchi na sanaa kwa ujumla.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS