Matukio aliyoyafanya Lissu baada ya kurejea nchini

Tundu Lissu, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA na aliyekuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 28, 2020.

liyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Singida Mashariki kupitia CHADEMA Tundu Lissu, Julai 27, 2020, alikanyaga ardhi ya Tanzania kwa mara ya kwanza tangu alipoondoka nchini baada ya kushambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana nyumbani kwake Dodoma, wakati akitoka kuhudhuria vikao vya Bunge.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS