Matukio aliyoyafanya Lissu baada ya kurejea nchini
liyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Singida Mashariki kupitia CHADEMA Tundu Lissu, Julai 27, 2020, alikanyaga ardhi ya Tanzania kwa mara ya kwanza tangu alipoondoka nchini baada ya kushambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana nyumbani kwake Dodoma, wakati akitoka kuhudhuria vikao vya Bunge.