Vanessa Mdee avalishwa pete ya uchumba na Rotimi 

Kushoto ni Vanessa Mdee na Rotimi kulia ni pete ambayo amevalishwa Vanessa Mdee

Staa wa Tanzania aliyetangaza kuacha muziki Vanessa Mdee, amevalishwa pete ya uchumba na mpenzi wake Rotimi ambaye ni msanii wa filamu na mwanamuziki Rotimi ambao wanaishi wote kwa sasa nchini Marekani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS