COVID-19 kughairisha michezo ya EPL

Joel Matip wa Liverpool akiwania mpira na Ivan Cavaleiro wa Fulham kwenye mechi ya EPL

Michezo miwili ya ligi kuu nchini England ipo kwenye hati hati ya kughairishwa, kwasababu maambukizi ya ugonjwa wa korona nchini humo yamezidi kushika kasi na kufikia visa 18, ambavyo ni vingi zaidi kuripotiwa ndani ya siku  moja.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS