Majaliwa awasimamisha vigogo wawili Bandarini

Pichani: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi Mkurugenzi wa Fedha wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA), Bi. Nuru Mhando pamoja na Meneja wa matumizi ya fedha wa TPA, Bi. Witness Mahela ili kupisha uchunguzi wa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha zinazowakabili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS