MAHIGA: Jina lenye hekima zinazoishi

Aliyewahi kuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Marehemu Balozi Dkt. Augustine Mahiga.

Alfajiri ya Mei 1, 2020, Tanzania iliondokewa na mwanadiplomasia nguli na aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Augustine Mahiga, taarifa za kifo chake zilitangazwa na Rais Dkt. John Magufuli, ambapo alieleza kuwa Tanzania imepata pigo kubwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS