Vyuo vya Afya vimetakiwa kuzingatia hili

Msajili wa Baraza la Famasi Bi. Elizabeth Shekalaghe.

Wamiliki wa vyuo binafsi vya kada ya famasi nchini wametakiwa wasibadilishe vyuo vikawa kama biashara kwani Serikali inatarajia kupata wataalam ambao wataweza kutoa huduma zinazostahili kwenye vituo vya kutolea huduma za afya nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS