Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimvalisha kofia msanii wa HipHop Kala Jeremiah
Msanii wa HipHop na mwanaharakati wa masuala ya kijamii Kala Jerermiah, amesema ana mpango wa kuingia Bungeni mwaka 2025 ila atatumia nafasi hiyo ili baadaye aje kuwa kiongozi wa Nchi yaani Rais.