Rais Mwinyi kuunda Tume ya Uchunguzi kwenye hili

Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi.

Baada ya Jengo la ghorofa linalo fahamika kama House of Wonders (Bait al- Ajaib) lililopo Stone Town, Zanzibar kuanguka wiki iliyopita na kusababisha vifo kwaa baadhi ya watu, Rais Dkt. Hussein Mwinyi ameahidi kuunda tume ya uchunguzi wa tukio hilo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS