Walimu waahidiwa kutengenezewa mazingira Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo. Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo, amesema kuwa serikali inafanya kazi kubwa ya kutengeneza mazingira wezeshi kwa walimu huku lengo likiwa ni la kupunguza idadi ya watu wasio na elimu nchini. Read more about Walimu waahidiwa kutengenezewa mazingira