Timo Werner ashangazwa na Premier League

Timo Werner amefunga mabao 4 kwenye michezo 13 ya ligi kuu, tangu ajiunge na Chelsea

Mshambuliaji wa Chelsea Timo Werner amesema kuwa ligi kuu ya England ni ngumu kuliko alivyootegemea, lakini anaamini karibu ataonyesha makali yake. Mshambuliaji huyo alijiunga na Chelsea mwanzoni mwa msimu huu akitokea RB Leipzing ya Ujerumani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS