Wabunge tuwaelimishe wananchi-Msukuma
Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku Msukuma, amesema kuwa wabunge wanapaswa kutimiza wajibu wao wa kuwaelimisha wananchi kuhusu kupanda kwa bei ya mafuta duniani, badala ya kuihamishia serikali mzigo wa lawama.

