Shamsa Ford amshushia ujumbe mzito Chiddi Mapenzi

Msanii wa filamu Shamsa Ford na Chiddi Mapenzi kwenye harusi yao mwaka 2016

Muigizaji na mfanyabiashara Shamsa Ford amemuandikia ujumbe mzito aliyekuwa mume wake Chidi Mapenzi kwa kumwambia amemsamehe, hana kinyongo naye na hata mmoja wapo akifariki watazikana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS