Onyo kali kwa madalali Dar es salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Aboubakar Kunenge Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Aboubakar Kunenge amepiga marufuku tabia ya baadhi ya masoko kupangisha vizimba kwa madalali kisha madalali hao kuwapangishia wananchi kwa bei ya juu. Read more about Onyo kali kwa madalali Dar es salaam