"Nyumba zimejaa Popo, hovyo kabisa" - Waziri Mkuu
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameipa wiki mbili Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), kuhakikisha kwamba ifikapo Januari 1, 2021, Bandari ya kimkakati ya Kagunga iliyoko katika Kata ya Kagunga wilayani Kigoma iwe imeanza kutoa huduma.