"Nyumba zimejaa Popo, hovyo kabisa" - Waziri Mkuu

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameipa wiki mbili Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), kuhakikisha kwamba ifikapo Januari 1, 2021, Bandari ya kimkakati ya Kagunga iliyoko katika Kata ya Kagunga wilayani Kigoma iwe imeanza kutoa huduma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS