Sababu za Prince Dube kupelekwa Afrika kusini
Klabu ya Azam FC imethibitisha kuwa mshambuliaji wake Prince Dube amevunjika mkono, mshambuliaji huyo aliumia dakika ya 15 kwenye mchezo wa ligi kuu bara dhidi ya Yanga, na anatarajiwa kwenda Afrika Kusini kwa matibabu zaidi.