Sababu za Prince Dube kupelekwa Afrika kusini

Prince Dube ametoa mchango wa mabao 10 ndani ya Azam FC msimu huu kwenye VPL, amefunga mabao 6 na ametoa pasi za usaidizi wa magoli 4

Klabu ya Azam FC imethibitisha kuwa mshambuliaji wake Prince Dube amevunjika mkono, mshambuliaji huyo aliumia dakika ya 15 kwenye mchezo wa ligi kuu bara dhidi ya Yanga, na anatarajiwa kwenda Afrika Kusini kwa matibabu zaidi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS