WanaCHADEMA waja na hili kuhusu Mdee na wenzake
Aliyekuwa mtia nia wa Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA), Leonard Manyama ameelezea mtazamo wake juu ya wabunge 19 walioapishwa jijini Dodoma wa chama hicho bila idhini ya chama kuwa ni usaliti.