Michapo ligi ya mabingwa Ulaya

Cristiano Ronaldo akishangilia bao katika mchezo walioshinda jana dhidi ya Ferencvaros.

Michuano ya ligi ya mabingwa barani ulaya imeendelea usiku wa kuamkia hii leo kwa michezo nane ya mzunguko wa wanne vilabu vya Chelsea, Sevilla kutoka kundi H, FC Barcelona na Juventus kutoka kundi G vimefanikiwa kupata ushindi na kujihakikishia kutinga hatua ya 16 bora ya michuano hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS