Prince Dube wa Azam (Kushoto), akipambana na Haroun Chanongo wa Mtibwa Sugar(Kulia) katika mchezo wa VPL.
Ligi kuu ya kandanda Tanzania bara inatazamiwa kurejea hii leo kwa michezo mitatu ya mzunguko wa 11 kutoka viwanja mbalimbali baada ya mapumziko ya majuma mawili kupisha kalenda ya michezo ya timu za taifa.