Golden State Warriors yapata pigo la Klay Thompson

Nyota wa Golden State Warriors , Klay Thompson (Pichani chini) akiugulia maumivu alipoumia uwanjani.

Mlinzi nyota wa timu ya mpira wa kikapu ya Golden State Warriors, Klay Thompson imethibitika atakosa michezo yote ya msimu mzima ujao wa NBA mwaka 2020-21 kwasababu ya kupata majeraha kwenye mguu wake wa kushoto akiwa anafanya mazoezi kusini mwa jiji la Kalifonia nchini marekani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS