Mwinyi abaini madudu kwenye hospitali,atoa miezi 3

Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi

Rais wa Zanzibar Dkt.Hussein Ali Mwinyi, amefanya ziara ya kushtukiza katika hospitali ya Mnazi Mmoja na kuutaka  uongozi wa hospitali hiyo  kuhakikisha watendaji wake wote wanatambulika kwa majina mara moja  ili wanaokwamisha huduma wajulikane.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS