"Mimi natishiwa sana, nitakimbilia wapi"- IGP

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro.

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, amesema kuwa mara baada ya kusikia aliyekuwa mgombea urais wa CHADEMA Tundu Lissu, kwamba anatishiwa na hatimaye kukimbilia ubalozini, alikiandikia barua chama chake kwamba afike polisi kwa ajili ya kueleza undani wa nani anayemtishia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS