Chanzo cha Bobi Wine kukamatwa chatajwa

Mgombea urais wa Uganda Bobi Wine

Kiongozi wa chama cha National Unity Platform (NUP), na mgombea urais wa Uganda, Robert Kyagulanyi, maarufu kwa jina la Bobi Wine,amekamatwa mapema leo Novemba 18, 2020, na jeshi la polisi nchini Uganda, akiwa katika harakati zake za kufanya kampeni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS