"Akitoka Kiba na Simba wewe ndiyo mfalme" - Marioo

Kushoto ni msanii Marioo, kulia ni Aslay Isihaka

Kikitoka kizazi cha msanii Alikiba na Simba wewe ndiyo mfalme, hiyo ni kauli ambayo ameitoa msanii wa BongoFleva Marioo kumwambia msanii mwenzake Aslay Isihaka ikiwa ni ishara ya kumpa heshima na kukubali anachokifanya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS