Wasafirishaji nyama kwa bodaboda kusajiliwa sasa

Kaimu msajili wa bodi ya nyama, Imani Sichwale

Kaimu msajili wa bodi ya nyama, Imani Sichwale, amesema Bodi ya Nyama  imejipanga kuandaa utaratibu  wa usajili wa wabeba nyama kwa njia ya pikipiki au bodaboda kutoka katika machinjio hadi kwenye mabucha mbalimbali ya nyama nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS