Kazi ya Uwaziri Mkuu haina dhamana -Rais Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewaambia wananchi  na viongozi kuwa kazi ya uwaziri mkuu haina dhamana huku akisema  ili waziri mkuu Kassim Majaliwa abaki kwenye nafasi hiyo kwa muhula wote  itategemea na utendaji wake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS